Rukia maudhui
Ayubu 31:13-15

Haki katika kuwatendea watumishi

Ayubu 31:13-15
13
“Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu, walipokuwa na manungʼuniko dhidi yangu,
14
nitafanya nini Mungu atakaponikabili? Nitamjibu nini nitakapoitwa kutoa hesabu?
15
Je, yeye aliyeniumba tumboni mwa mama yangu, si ndiye aliwaumba? Je, si ni yeye huyo mmoja aliyetuumba sote ndani ya mama zetu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options