Ayubu 31:9-12
9
“Kama moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke, au kama nimevizia mlangoni mwa jirani yangu,
10
basi mke wangu na asage nafaka ya mwanaume mwingine, nao wanaume wengine walale naye.
11
Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
12
Ni moto uwakao kwa Uharibifu; ungekuwa umengʼoa mavuno yangu.
Settings