Skip to content
Ayubu 31:5-8

Ayubu 31:5-8

5
“Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
6
Mungu na anipime katika mizani za uaminifu, naye atajua kwamba sina hatia:
7
kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia, kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu, au kama mikono yangu imetiwa unajisi,
8
basi wengine na wale nilichokipanda, nayo yale yote niliyootesha na yangʼolewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options