Ayubu 31:1-4
1
“Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani.
2
Kwa kuwa fungu la mwanadamu ni gani kutoka kwa Mungu juu, urithi wake kutoka kwa Mungu Mwenye Nguvu Aliye juu?
3
Je, si uharibifu kwa watu waovu, maangamizi kwa wale watendao mabaya?
4
Je, yeye hazioni njia zangu na kuihesabu kila hatua yangu?
Settings