Skip to content
Ayubu 29:8-10

Ayubu 29:8-10

8
vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
9
wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
10
wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options