Skip to content
Ayubu 29:7-11

Ayubu 29:7-11

7
“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
8
vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
9
wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
10
wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
11
Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options