Skip to content
Ayubu 27:2-6

Ayubu 27:2-6

2
“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu, Mwenyezi ambaye amenifanya nionje uchungu wa nafsi,
3
kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu, nayo pumzi ya Mungu ikiwa puani mwangu,
4
midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
5
Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi; hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
6
Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha; dhamiri yangu haitanisuta muda wote ninaoishi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options