Ayubu 27:1-4
1
Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2
“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu, Mwenyezi ambaye amenifanya nionje uchungu wa nafsi,
3
kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu, nayo pumzi ya Mungu ikiwa puani mwangu,
4
midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
Settings