Skip to content
Ayubu 22:21-25

Ayubu 22:21-25

21
“Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia.
22
Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake, na maneno yake uyaweke moyoni mwako.
23
Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya: Kama ukiuondoa uovu uwe mbali na hema lako,
24
kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi, dhahabu yako ya Ofiri kama miamba ya mabondeni,
25
ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options