Rukia maudhui
Ayubu 18:11-14

Hofu na maangamizi yawangojea waovu

Ayubu 18:11-14
11
Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
12
Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
13
Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
14
Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options