Skip to content
Ayubu 17:6-10

Ayubu 17:6-10

6
“Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu, mtu ambaye watu humtemea mate usoni.
7
Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi; umbile langu lote ni kama kivuli.
8
Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu.
9
Hata hivyo, waadilifu watazishika njia zao, nao wale wenye mikono safi wataendelea kupata nguvu.
10
“Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena! Sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options