Skip to content
Ayubu 17:1-5

Kifo kimekaribia; Ayubu ataka mdhamini

Ayubu 17:1-5
1
Moyo wangu umevunjika, siku zangu zimefupishwa, kaburi linaningojea.
2
Hakika wenye mizaha wamenizunguka; macho yangu yamebaki kutazama uadui wao.
3
“Ee Mungu, nipe dhamana unayodai. Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
4
Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
5
Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options