Skip to content
Ayubu 16:17-22

Ayubu 16:17-22

17
Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.
18
“Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.
19
Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.
20
Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
21
kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
22
“Ni miaka michache tu itapita kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options