Skip to content
Ayubu 17:1-4

Ayubu 17:1-4

1
Moyo wangu umevunjika, siku zangu zimefupishwa, kaburi linaningojea.
2
Hakika wenye mizaha wamenizunguka; macho yangu yamebaki kutazama uadui wao.
3
“Ee Mungu, nipe dhamana unayodai. Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
4
Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options