Skip to content
Ayubu 15:15-16

Ayubu 15:15-16

15
Kama Mungu hawaamini watakatifu wake, kama hata mbingu zenyewe si safi machoni pake,
16
sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu, ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options