Ayubu 14:7-9
7
“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
8
Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,
9
lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua na kutoa machipukizi kama mche.