Skip to content
Ayubu 14:7-9

Ayubu 14:7-9

7
“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
8
Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,
9
lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua na kutoa machipukizi kama mche.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options