Skip to content
Ayubu 14:1-6

Ayubu 14:1-6

1
“Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake ni chache nazo zimejaa taabu.
2
Huchanua kama ua kisha hunyauka; huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.
3
Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo? Je, utamleta mbele yako katika hukumu?
4
Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi? Hakuna awezaye!
5
Siku za mwanadamu zimewekewa mpaka; umekwisha kutangaza idadi ya miezi yake na kuweka mpaka ambao hawezi kuuvuka.
6
Hivyo angalia mbali umwache, hadi awe amekamilisha muda wake kama mtu aliyeajiriwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options