Skip to content
Ayubu 14:13-17

Ayubu 14:13-17

13
“Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka!
14
Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena? Siku zote za kazi zangu ngumu nitangojea kufanywa upya kwangu.
15
Utaniita nami nitakuitika; utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.
16
Hakika ndipo utakapozihesabu hatua zangu, lakini hutazifuatia dhambi zangu.
17
Makosa yangu yatafungiwa kwa lakiri kwenye mfuko, nawe utazifunika dhambi zangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options