Skip to content
Ayubu 14:18-22

Ayubu 14:18-22

18
“Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika na kama vile mwamba uondolewavyo mahali pake,
19
kama maji yamalizavyo mawe, na mafuriko yachukuavyo udongo, ndivyo unavyoharibu tegemeo la mwanadamu.
20
Humshinda mara moja kwa daima, naye hutoweka; waibadilisha sura yake na kumwondoa.
21
Kama wanawe wakipewa heshima, yeye hafahamu; kama wakidharauliwa, yeye haoni.
22
Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe, naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options