Ayubu 14:7-10
7
“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
8
Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,
9
lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua na kutoa machipukizi kama mche.
10
Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake; hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!
Settings