Skip to content
Ayubu 12:7-10

Ayubu 12:7-10

7
“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha, au ndege wa angani, nao watawaambia;
8
au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha, au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
9
Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
10
Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options