Rukia maudhui
Yeremia 52:28-30

Muhtasari wa Uhamisho Mara Tatu

Yeremia 52:28-30
28
Hii ndiyo hesabu ya watu ambao Nebukadneza aliwachukua kwenda uhamishoni: katika mwaka wa saba, Wayahudi 3,023;
29
katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Nebukadneza, watu 832 kutoka Yerusalemu;
30
katika mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wake, Wayahudi 745 walichukuliwa kwenda uhamishoni na Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme. Jumla ya watu wote walikuwa 4,600.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options