Rukia maudhui
Yeremia 19:1-2

Yeremia Atumwa Kwenye Bonde la Hinomu

Yeremia 19:1-2
1
Hili ndilo asemalo Bwana: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani
2
na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options