Rukia maudhui
Yeremia 1:17-18

Yeremia 1:17-18

17
“Jiandae! Simama useme chochote nitakachokuamuru. Usiwaogope, la sivyo nitakufanya uwaogope wao.
18
Leo nimekufanya mji wenye ngome, nguzo ya chuma, na ukuta wa shaba ili kusimama dhidi ya nchi yote: dhidi ya wafalme wa Yuda, maafisa wake, makuhani wake na watu wa nchi hiyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options