Rukia maudhui
Isaya 49:14-16

Amechorwa Katika Viganja vya Mikono Yake

Isaya 49:14-16
14
Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha, Bwana amenisahau.”
15
“Je, mama aweza kumsahau mtoto aliyeko matitini mwake akinyonya, wala asiwe na huruma juu ya mtoto aliyemzaa? Ingawa anaweza kusahau, mimi sitakusahau wewe!
16
Tazama, nimekuchora kama muhuri katika vitanga vya mikono yangu, kuta zako zi mbele yangu daima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options