Rukia maudhui
Isaya 40:1-2

Ujumbe wa Faraja na Msamaha

Isaya 40:1-2
1
Wafarijini, wafarijini watu wangu, asema Mungu wenu.
2
Sema na Yerusalemu kwa upole, umtangazie kwamba kazi yake ngumu imekamilika, kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia, kwamba amepokea kutoka mkononi mwa Bwana maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options