Rukia maudhui
Isaya 25:10-12

Hukumu ya Mungu Dhidi ya Moabu

Isaya 25:10-12
10
Mkono wa Bwana utatulia juu ya mlima huu, bali Moabu atakanyagwa chini kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea.
11
Watakunjua mikono yao katikati yake, kama vile mwogeleaji akunjuavyo mikono yake ili aogelee. Mungu atashusha kiburi chao licha ya ujanja wa mikono yao.
12
Atabomoa kuta ndefu za maboma yako na kuziangusha chini, atazishusha chini ardhini, mpaka mavumbini kabisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options