Rukia maudhui
Hosea 12:1-2

Upumbavu wa Kisiasa na Kiroho wa Efraimu

Hosea 12:1-2
1
Efraimu anajilisha upepo; hufukuzia upepo wa mashariki kutwa nzima na kuzidisha uongo na jeuri. Anafanya mkataba na Ashuru na kutuma mafuta ya zeituni Misri.
2
Bwana analo shtaka dhidi ya Yuda, atamwadhibu Yakobo kwa kadiri ya njia zake na kumlipa kwa kadiri ya matendo yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options