Rukia maudhui
Hosea 11:5-7

Hukumu kwa Kukataa Kutubu

Hosea 11:5-7
5
“Je, hawatarudi Misri, nayo Ashuru haitawatawala kwa sababu wamekataa kutubu?
6
Panga zitametameta katika miji yao, zitaharibu makomeo ya malango yao na kukomesha mipango yao.
7
Watu wangu wamedhamiria kuniacha. Hata kama wakimwita Yeye Aliye Juu Sana, kwa vyovyote hatawainua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options