Rukia maudhui
Waebrania 3:19

Hatari ya Kutokuamini

Waebrania 3:19
Inaonyesha mstari 19 pamoja na muktadha unaouzunguka.
16
Basi ni nani waliosikia lakini bado wakaasi? Je, si wale wote waliotoka Misri wakiongozwa na Mose?
17
Lakini ni nani aliowakasirikia miaka arobaini? Je, si wale waliofanya dhambi ambao miili yao ilianguka jangwani?
18
Ni nani hao ambao Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii?
19
Hivyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options