Rukia maudhui
Mwanzo 8:16-17

Mwanzo 8:16-17

16
“Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao.
17
Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options