Skip to content
Mwanzo 8:15-19

Mwanzo 8:15-19

15
Ndipo Mungu akamwambia Noa,
16
“Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao.
17
Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”
18
Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao.
19
Wanyama wote na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi na ndege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, aina moja baada ya nyingine vikatoka katika safina, kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options