Rukia maudhui
Mwanzo 6:9-10

Mwanzo 6:9-10

9
Hivi ndivyo vizazi vya Noa. Noa alikuwa mtu wa haki, na mkamilifu miongoni mwa watu wa wakati wake, tena alitembea na Mungu.
10
Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options