Rukia maudhui
Mwanzo 49:3-4

Reubeni: Kupoteza Ubora

Mwanzo 49:3-4
3
“Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu, tunda la kwanza la nguvu zangu, umepita kwa heshima, umepita kwa uwezo.
4
Usiyezuiwa kama maji, basi hutakuwa mkuu tena, kwa kuwa ulipanda kwenye kitanda cha baba yako, kwenye kitanda changu na kukinajisi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options