Skip to content
Mwanzo 41:28-31

Mwanzo 41:28-31

28
“Ni kama vile nilivyomwambia Farao: Mungu amemwonyesha Farao jambo analokusudia kufanya karibuni.
29
Miaka saba ya neema inakuja katika nchi yote ya Misri,
30
lakini itafuata miaka saba ya njaa. Ndipo neema yote ya Misri itasahaulika na njaa itaikumba nchi.
31
“Neema iliyokuwa katika nchi haitakumbukwa, kwa sababu njaa itakayofuata itakuwa kali mno.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options