Rukia maudhui
Mwanzo 4:25-26

Kuzaliwa kwa Sethi

Mwanzo 4:25-26
25
Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.”
26
Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi. Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options