Mwanzo 36:1-3
1
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
2
Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
3
pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.