Skip to content
Mwanzo 35:27-29

Mwanzo 35:27-29

27
Yakobo akarudi nyumbani kwa baba yake Isaki huko Mamre, karibu na Kiriath-Arba (yaani Hebroni), ambapo walikuwa wameishi Abrahamu na Isaki.
28
Isaki aliishi miaka 180.
29
Kisha Isaki akapumua pumzi yake ya mwisho akafa, akakusanywa pamoja na watu wake akiwa mzee wa miaka mingi. Nao wanawe Esau na Yakobo wakamzika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options