Skip to content
Mwanzo 35:23-26

Mwanzo 35:23-26

23
Wana wa Lea walikuwa: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuloni.
24
Wana wa Raheli walikuwa: Yosefu na Benyamini.
25
Wana waliozaliwa na Bilha mtumishi wa kike wa Raheli walikuwa: Dani na Naftali.
26
Wana waliozaliwa na Zilpa mtumishi wa kike wa Lea walikuwa: Gadi na Asheri. Hawa walikuwa wana wa Yakobo, waliozaliwa kwake akiwa Padan-Aramu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options