Rukia maudhui
Mwanzo 2:15-17

Agizo kwa mwanadamu na katazo

Mwanzo 2:15-17
15
Bwana Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza.
16
Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akamwambia, “Uko huru kula matunda ya mti wowote katika bustani,
17
lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options