Mwanzo 10:10-12
10
Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
11
Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
12
na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.