Rukia maudhui
Ezra 5:1-2

Manabii Watia Moyo Kujenga Upya Hekalu

Ezra 5:1-2
1
Ndipo nabii Hagai na nabii Zekaria mzao wa Ido, wakawatolea unabii Wayahudi waliokuwa Yuda na Yerusalemu kwa jina la Mungu wa Israeli, aliyekuwa pamoja nao.
2
Ndipo Zerubabeli mwana wa Shealtieli na Yeshua mwana wa Yosadaki wakaanza kujenga tena nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Nao manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao, wakiwasaidia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options