Skip to content
Ezra 5:3-5

Ezra 5:3-5

3
Wakati ule Tatenai mtawala wa ngʼambo ya mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao waliwaendea, wakawauliza, “Ni nani aliyewapa ruhusa ya kujenga tena Hekalu hili na kurudishia upya kama lilivyokuwa?”
4
Pia waliwauliza, “Je, majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?”
5
Lakini jicho la Mungu wao lilikuwa likiwaangalia wazee wa Wayahudi, nao hawakuzuiliwa kujenga mpaka taarifa ikaandikwa kwa Dario na majibu yake kupokelewa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options