Rukia maudhui
Ezekieli 2:9-10

Gombo la Hukumu

Ezekieli 2:9-10
9
Ndipo nikatazama, nami nikaona mkono ulionyooshwa kunielekea. Nao ulikuwa na ukurasa wa kitabu,
10
ambao aliukunjua mbele yangu. Pande zote mbili ulikuwa umeandikwa maneno ya maombolezo, vilio na ole.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options