Rukia maudhui
Kutoka 37:25-28

Madhabahu ya Kufukizia

Kutoka 37:25-28
25
Akatengeneza madhabahu ya kufukizia uvumba kwa mbao za mshita. Ilikuwa ya mraba, urefu na upana wake dhiraa moja, na kimo cha dhiraa mbili, nazo pembe zake zilikuwa kitu kimoja nayo.
26
Akafunika hayo madhabahu juu na pande zote na pia zile pembe zake kwa dhahabu safi, na akayafanyizia ukingo wa dhahabu kuizunguka.
27
Akatengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo ukingo, zikiwa mbili kila upande, za kushikilia hiyo mipiko iliyotumika kuyabebea madhabahu.
28
Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options