Rukia maudhui
Kutoka 22:21-24

Haki kwa Walio Hatarini

Kutoka 22:21-24
21
“Usimtendee mgeni vibaya au kumwonea, kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni huko Misri.
22
“Usimdhulumu mjane wala yatima.
23
Kama ukifanya hivyo nao wakinililia, hakika nitasikia kilio chao.
24
Hasira yangu itawaka, nami nitawaua kwa upanga, wake zenu watakuwa wajane na watoto wenu watakuwa yatima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options