Rukia maudhui
Kutoka 20:12-17

Amri Sita za Mwisho: Wajibu kwa Jirani

Kutoka 20:12-17
12
Waheshimu baba yako na mama yako, ili upate kuishi siku nyingi katika nchi anayokupa Bwana Mungu wako.
13
Usiue.
14
Usizini.
15
Usiibe.
16
Usimshuhudie jirani yako uongo.
17
Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wa kiume au wa kike, wala ngʼombe wake au punda wake, wala chochote kile alicho nacho jirani yako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options