Rukia maudhui
Kutoka 15:20-21

Miriamu na Wanawake Wafurahi

Kutoka 15:20-21
20
Kisha Miriamu yule nabii mke, ndugu yake Aroni, akachukua matari mkononi mwake na wanawake wote wakamfuata na matari yao wakicheza.
21
Miriamu akawaimbia: “Mwimbieni Bwana, kwa maana ametukuka sana. Farasi na mpanda farasi amewatosa baharini.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options