Rukia maudhui
Kutoka 14:19-20

Wingu Liyatenganisha Makambi

Kutoka 14:19-20
19
Ndipo malaika wa Mungu, aliyekuwa akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao na kusimama nyuma,
20
ikakaa kati ya majeshi ya Misri na Israeli. Usiku kucha wingu likaleta giza upande mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options