Skip to content
Kutoka 12:43-45

Kutoka 12:43-45

43
Bwana akamwambia Mose na Aroni, “Haya ndiyo masharti kwa ajili ya Pasaka: “Mgeni hataruhusiwa kula Pasaka.
44
Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,
45
lakini kibarua yeyote au msafiri haruhusiwi kula.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options